Mtume
anaendelea kutuhadithia, hatimaye nilisikia sauti ya adhan ikiwa inatolewa na
malaika kama ifuatavyo. Thereafter, I heard the sound of the Adhan. An Angel in
the heavens was busy reciting this Adhan. And up until
now, 1
had not heard the Adhan being called out from the heavens. When he said:
أكبر الله أكبر ﷲ
Allah
ni mkubwa kuliko maneno yoyote unayoweza kutumia kumsifia x2
Allah akasema
mja wangu kasema kweli, mimi ni mkubwa zaidi na zaidi.
Malaika
akasema:
Ashhadu
anlaa ilaha illah llah x2
Ninashuhudia
kuwa hakuna anayestahili kuabudiwa isipokuwa Allah X2.
Allah akasema,
"mja wangu kasema kweli, hakuna mungu isipokuwa Mimi.
Kisha malaika
akaendelea:
Ashhadu
anna Muhammad rasulullah x2
Ninashuhudia
kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah x2
Allah
(SW) akasema, mja wangu kasema kweli, Muhammad ni mtumishi wangu na mtume
wangu. Nimemchagua mimi kuwa Mtume.
Kisha Uadhini
aliendelea:
Haiyya lal-swalaaa
x2
Njoo haraka
kuswali x2
Allah
(SW) akasema mja wangu kasema kweli, amekuiteni kuniabudu. Yeyote atakaye swali
kwa upendo kwangu na kuwajibika ipasavyo, hiyo itakuwa kafara kwa madhabi yake
yote yaliyotangulia.
Muadhin
akaendelea ,
Wahini kwenye
uokovu / mafanikio x2
Allah akasema
swala ni njia ya mafanikio kwa waja wangu.
Mpaka mwisho
wa adhana
Soma;
Bihar al-Anwar, Vol. 18, p. 330, Bab 3 - Ithbaat al-Mi`raaj wa ma`anaahu wa
kayfiyyatuhu wa sifatuhu wa ma jaraa feehi wa wasf al-buraaq, Hadith 34.
Comments
Post a Comment