Katika ukurasa wa 301 wa juzuu ya 3 ya Tafsir
al-Kashshaaf iliyokusanywa chini ya maelekezo ya Sheikh Mustafa al-Halabi
(toleo la pili, 1319 A.H. liliochapishwa na Main Government Printing House ya
Amiriah Bulaq ya Misri), beti zinazojitokeza ambazo kwazo Jarallah Zamakhshari,
mfasiri wa al-Kashshaaf, alitangaza wazi imani yake katika uhalali wa Ushia.
Lakini katika toleo la mwaka wa 1373 A.H. kutoka
Printing House
Istiqamah bi ‘l-Qahara, shairi lililotajwa halionekani
tena. Hivi ndivyo Uislamu sahihi umekuwa mgeni miongoni mwa watu kwa sababu
kuna juhudi za makusudi na kupotosha Umma washindwe kujua kuwa Ushia ndio
Madhehebu sahihi ya Kiislamu.
Comments
Post a Comment