MAWAHHABI WAWAINGILIA KWA NYUMA WAKE ZAO.

Hii inatokana na kuitafsir vibaya Aya ya 223 katika surah ya pili ndani ya Qur’an. Watu hawa kwa kuwa hawaijui vyema Qur’an wanaamini kuwa kumwingilia mke kinyume cha maumbile ni halali.
Anasimulia Naafii. Siku moja niliisoma Aya hii, Abdallah bin Umar bin Khattab akauliza: Unajua Aya hii ilishuka kwa ajili gani? Nikajibu: La, sijui. Akasema: "Imeshuka kwa ajili ya kuwaingilia wanawake nyuma yao."
Hii ni kwa mujibu wa madh'hab ya Sunni.
Taz: Tafsirut Tabari     J.2  Uk. 233
Addurrul Manthur     J.l  Uk. 474-475
Majmaul Bayani     J.l  Uk. 565
Fat'hul Bayani Fyi maqasidil Qur'an   J.l  Uk. 450
Tafsir Gharaaibil'Qur-an     J.2  Uk. 347
 Tafsirul Kabiir   J.6  Uk. 71
Imepokelewa kutoka kwa Abdallah ibn Abas (R.A) anasema kuwa siku moja Umar bin Khatab alikwenda kwa Mtume (s.a.w.w) na kumwambia ewe Mtume nimeangamia. Mtume akamuuliza ameangamizwa na jambo gani? Umar akasema usiku msafala wangu ulipinda (yaani alimwingilia mke wake kwa nyuma). Mtume akamwonya kuhusu kumwingilia mke kwa nyuma na kumwingilia mke akiwa katika hedhi.

Lakini, fikra hii ya Umar bin Khatab, mwanae Abdallah bin Umar na Mawahhabi wengine inapingwa vikali na wanazuoni wa kishia, wao kwa kauli moja wanasema kuwa ni haramu.

Comments