SWALI LA PILI KWA MAWAHHABI NA MASALAFI

SWALI LA PILI KWA MAWAHHABI NA MASALAFI
Bi Fatumah Zahra (a.s) alifariki muda mfupi tu baada ya kifo cha baba yake (Mtume). Sayyidna Abubakar alifariki miaka miwili na nusu baada ya kifo cha Mtume (s.a.w.w), Sayyidna Umar alifariki miaka ishirini baadaye.

Cha kushangaza ni kuwa Abubakar na Umar walizikikwa pembeni ya kaburi la Mtume, lakini Bi Fatumah mtoto wake wa pekee aliyefikia utu uzima alizikwa mbali sana na baba yake. Kwa nini?

Je, aliomba mwenyewe azikwe mbali na baba yake? Kama ni hivyo kwanini? Je waislamu waligoma kumzika bi Fatumah pembeni ya baba yake?


(soma Sahih al Bukhari Arabic - English Vol 5 hadith namba 546). 

Comments