ADHANA ILIYO SAHIHI
Ukitaka kusali elekea kibla na usimame. Baadae Uadhini kama hivi:-
1. Allahu Akbar x4 {MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA}
2. Ash-hadu allailahailla-Llah x2
{NAKIRI KUWA HAKUNA MOLA ILA MWENYEZI MUNGU}
3. Ash hadu anna Muhammadar Rasulullah x2
{NAKIRI KUWA NABII MUHAMMAD NI MJUMBE WA MWENYEZI MUNGU)
4. Hayya alas-Salaah x2 {NJOONI KATIKA SALA}
5. Hyya alal-Falaah x2 {NJOONI MFUZU KHERI YA DUNIA NA AKHERA}
6. Hayyaalaa Khairil-Amal x2
{NJOONI KWENYE KITENDO BORA KABISA KULIKO VITENDO VYOTE}
7. Allahu Akbar x2 (MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA)
8. Lallaha llla-Llah x2
{HAKUNA MOLA ILA MWENYEZI MUNGU}.
Hiyo ndio adhana sahihi ya kiislamu, adhana tofauti na hiyo haikubaliwi na Allah. Yeyote anayetaka kuswali swala ya faradhi ni lazima aadhini kwanza kisha aqimu ndipo aanze kuswali.
Ukitaka kusali elekea kibla na usimame. Baadae Uadhini kama hivi:-
1. Allahu Akbar x4 {MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA}
2. Ash-hadu allailahailla-Llah x2
{NAKIRI KUWA HAKUNA MOLA ILA MWENYEZI MUNGU}
3. Ash hadu anna Muhammadar Rasulullah x2
{NAKIRI KUWA NABII MUHAMMAD NI MJUMBE WA MWENYEZI MUNGU)
4. Hayya alas-Salaah x2 {NJOONI KATIKA SALA}
5. Hyya alal-Falaah x2 {NJOONI MFUZU KHERI YA DUNIA NA AKHERA}
6. Hayyaalaa Khairil-Amal x2
{NJOONI KWENYE KITENDO BORA KABISA KULIKO VITENDO VYOTE}
7. Allahu Akbar x2 (MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA)
8. Lallaha llla-Llah x2
{HAKUNA MOLA ILA MWENYEZI MUNGU}.
Hiyo ndio adhana sahihi ya kiislamu, adhana tofauti na hiyo haikubaliwi na Allah. Yeyote anayetaka kuswali swala ya faradhi ni lazima aadhini kwanza kisha aqimu ndipo aanze kuswali.
Comments
Post a Comment