SABABU ZA NDOA ZILIZOELEZWA NA QUR'AN

SABABU ZA NDOA ZILIZOELEZWA NA QUR'AN NI NNE: 
(1) Kujilinda na maradhi ya kimwili na ya kiroho na kuweka murua mwema, kwa kumfanya mtu awe na uwezo wa kutosha kujiepusha na zinaa (sura 4:25); 

(2) Kupata utulivu wa moyo na kuwepo mwenzi mwenye mahaba, na kuwepo stara na starehe  kama zinavyositiri nguo (sura 30:22 na 2:188); 
(3) Kuzaa watoto na kukuza taifa la watu (sura 2:224); 

(4) Kupanua ujamaa na nasabu  (sura 25:55).


Kwa hiyo kila mtu aliyefikia umri wa kuoa aoe mke mmoja hadi wanne kulingana na mahitaji yake mwenyewe.

Comments