Swali kwa Mashia March 17, 2016 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Swali kwa Mashia: Je, ni kweli kwamba Mashia wanavuka mpaka kwa kuwasifu Maimamu? Jibu: Si kweli kabisa! Wao wanaitakidi kuwa hao Maimamu walikuwa waja wanyenyekevu wa Mwenyezi Mungu, na Makhalifa wa Mtume wake (s.a.w.). Comments
Comments
Post a Comment