Nini itikadi ya Mashia juu ya Bibi Fatimah Zahra, binti wa Mtume Muhammad (s.a.w.)?

SWALI KWA MASHIA
Nini itikadi ya Mashia juu ya Bibi Fatimah Zahra, binti wa Mtume Muhammad (s.a.w.)?

Jibu la Mashia:
Wao Mashia wanaitakidi kuwa yeye Fatuma ni Mkweli  (Saddiqah) na Johara (Taahirah); na  Mwenyezi Mungu ameteremsha aya ya  Tat-hira kwa Utukufu wake, na baba yake, wa mume wake, na wa wanawe.


Lakini Pia Mtume amemtaja kuwa yeye ndiye mwanamke bora na mtakatifu wa umma huu. Wanawake wengine watakatifu ni Bi Khadija binti Khuwalid, Mariam bint Imran na Asia. 

Comments