IKHITILAFU YA TAREHE YA KUZALIWA MTUME

IKHITILAFU YA TAREHE YA KUZALIWA MTUME

Katika kitabu cha historia cha Qadhi Husain Ibn Muhammad Diyar  Bakari al-Maliki inayoitwa Tareekh-e-Khamees, imeandikwa hivi kwamba Mtume wetu alizaliwa mwezi kumi (10) Rabi-ul-Awwal, na kwa mujibu wa walivyopokea wengine, tarehe ya kuzaliwa kwake ni kumi na mbili (12) Rabi-ul-Awwal na wengine wamepokea kuwa  ilikuwa kumi na saba (17) Rabi-ul-Awwal.


Wanahistoria walio wengi wanaamini kuwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) alizaliwa tarehe 17 Rabiul Awwal, mwaka wa tembo au 570 miladia.

Comments