Kumshukuru Mungu:
Mwenyezi Mungu amesema: "Na anayeshukuru, ana shukuru kwa
manufaa ya nafsi yake {kwa ajili yake tu, na anayekufuru, kwa hakika Mola ni
Mkwasi Mkarimu." {Qur'an 4:147}.
Tena Mwenyezi Mungu amesema: "Kama mkishukuru
nitakuzidishieni, na kama mkikufuru, {jueni} kuwa adhabuYangu ni kali
sana." {Quran, Sura ya 14, aya ya 7}
Comments
Post a Comment