NINI ITIKADI YA MASHIA
JUU YA UISLAMU?
Mashia kama waislamu
wengine, wanaamini kwamba Uislamu ni dini iliyofundishwa na manabii na mitume
wote, ambayo mafundisho yake yalikamilishwa na Mtume wa Uislamu - Muhammad
(s.a.w.). Uislamu ndio dini pekee sahihi inayokubaliwa mbele za Muumba. Dini zingine
zinatokana na uchakachuzi uliofanywa na baadhi ya watu kwa manufaa yao ya
kidunia.
Dini hii itaendelea
kuwepo mpaka siku ya Kiyama, “Na mwenye kufuata dini isiyokuwa ya Islamu, basi
haitokubaliwa kwake, na (siku ya) Akhera
atakuwa miongoni mwa waliopata hasara.” (Qur’ani, 3:84).
Comments
Post a Comment