MAULID HUAMBATANA NA KUTANGAZA UISLAMU NA KUSILIMISHA WENGINE

MAULID HUAMBATANA NA KUTANGAZA UISLAMU NA KUSILIMISHA WENGINE:

Assalaam alaykum:
Katika Qur'ani Tukufu (Sura 5:67) Mwenyezi Mungu anamwamrisha Mtume Wake (s.a.w.w.) awafikishie watu Ujumbe aliompa.

Na katika khutba yake ya mwisho, Bwana Mtume (s.a.w.w.) alituamrisha sisi wafuasi wake tuufikishe Ujumbe huo kwa yule ambaye haujamfikia.

Na hilo limepatikana -- na linaendelea kupatikana -- maulidini kwa ushahidi wa rikodi ya wengi waliosilimu baada ya kuhudhuria maulidini na kusikiliza kaswida na khutba zinazotolewa huko.


Hakika maulid ni ibada kubwa kabisa

Comments