Katika Wimbo
ulio Bora (5:10) mmeandikwa “Mpenzi wangu
ni mweupe
tena mwekundu - mwekundu. Ndiye mkuu katika elfu
kumi”
(Biblia ya Kimvita).
Huyu
aliyetajwa hapa na Nabii Suleimani aliyekuwa mkuu
katika watu
elfu kumi si mwingine bali Mtume Muhammad. Maneno
ya mbele ya
haya yameeleza sifa zote za mwili wa Mtume s.a.w.
kama
ulivyokuwa.
Comments
Post a Comment